Uimarishaji wa msikiti Timbuktu, nchini mali MINUSMA yasaidia

Walinda amani wa Umoja wa Mataifa na wakazi wa Timbuktu nchini Mali wanachanganya udongo ili kukarabati msikiti wa Djingareyber ulio kwenye orodha ya urithi wa dunia. (Picha: @MINUSMA-Tiecoura N’DAOU)
Wakazi wa Timbuktu kwa pamoja wanachanganya vizuri udongo tayari kuanza kazi. (Picha: @MINUSMA-Tiecoura N’DAOU)
Dua inahusika kwa msikiti huu wa Djingareyber uliojengwa mwaka 1325. (Picha: @MINUSMA-Tiecoura N’DAOU)
Wanapokezana udongo huu ambao utatumika kwenye ukarabati wa msikiti. (Picha: @MINUSMA-Tiecoura N’DAOU)
Kwa karne saba sasa kila mwaka msaragambo hufanyika ili kuuimarisha. (Picha: @MINUSMA-Tiecoura N’DAOU)
Licha ya mapigano huko huko Timbuktu, ukarabati huu huwaleta wanajamii pamoja. (Picha: @MINUSMA-Tiecoura N’DAOU)
Wazee kwa vijana… haba na haba hadi kazi nakamilika. (Picha: @MINUSMA-Tiecoura N’DAOU)
Created By
Idhaa ya Kiswahili Umoja wa Mataifa
Appreciate

Credits:

(Picha: MINUSMA-Tiecoura N’DAOU

Made with Adobe Slate

Make your words and images move.

Get Slate

Report Abuse

If you feel that this video content violates the Adobe Terms of Use, you may report this content by filling out this quick form.

To report a Copyright Violation, please follow Section 17 in the Terms of Use.